Friday, September 26, 2014

WADAU WA ASALI TANZANIA WANAMATUMAINI JUU YA UFUMBUZI WA SOKO LA NJE LA ASALI KUPITIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WADAU WA ASALI UTAKAOFANYIKA AICC

Wakiongea kwa nyakati tofauti na   www.balelemwanahabari.blogspot.com Wadau mbalimbali wa asali Tanzania wameeleza kuwa changamoto kubwa ya bashara ya Asali ni soko la uhakika hasa soko la nje.

Wadau hao wameeleza kuwa kupitia Mkutano mkubwa wa kimataifa utakaofanyika Jijini Arusha Tanzania ,kuanzia tarehe 11-16 November,2014.Huenda kukawa na Maumaini ya kupata ufumbuzi wa Soko la uhakika wa sali hasa soko la nje.

Mkutano huo mkubwa kabisa  utahusisha zadi ya Wadau 550 kutoka sehemu mbalimbali katika kila pembe ya Dunia.

Kwa Maelezo zaidi kuhusu mkutano huo tembelea >>>>http://www.apiafrica.org/

No comments:

Post a Comment