Sunday, November 4, 2012

JIJI LA MWANZA

Mwanza ilianzishwa na Wajerumani wakati wa ukoloni wa Afrika chini ya ukoloni wa Mjerumania
Koloni hili liliteuliwa kutokana na kua na bandari asilia upande wa kusini mwa ziwa Victoria.

Wajerumani waliuita mji kwa jina la" Muansa",inaaminiwa ilikua ni matamshi yao ya neno" Nyanza"
Idadi ya wakazi inakadiriwa kuwa 378,327(sensa1992)
Jiji la Mwanza ni jiji la pili (2)kwa ukubwa baada ya jiji la Dar-es Salaam.
wilaya za jiji la mwanza ni Ilemela na Nyamagana.

JIJI la mwanza ni maarufu kwa samaki aina ya SATO na SANGARA
Kabila kubwa jijini humo ni wasukuma,
Wakerewe pia wanapatikana katika jiji hili.
kutokana na muingiliano wa shughuli za kibiashara kwa sasa makabila ya Wahaya,Wakurya na mengineyo ni maarufu pia jijini hapa

JIJI hili ni maarufu kwa jina The Rock city kutokana na milima mingi ambapo kuna makazi ya watu,lakini pia kutokana na Bismack rock,iliyoko pembezoni mwa ziwa victoria  maeneo ya kamanga ferry.
 Bismack rocks ktk jiji la Mwanza.mawe haya yamekua unique identity ya mkoa huu

Jiji hili pia ni maarufu kwa watu maarufu hapa nchini na kwengineko,kama Wanasiasa,Wacheza mpira,Wasanii wa mziki na hata Mwandishi wa blog hii ndiko anakotoka

 
MSANII MKONGWE TANZANIA WA HIP HOP( FID Q),PIA NI MKAZI WA JIJI LA MWANZA
MBUNGE MWANASIASA MACHACHARI EZEKIA WENJE PIA ANATOKA MWANZA
FABIAN FRANK BALELE,MWANDISHI WA BLOG HII PIA NI MKAZI WA JIJI LA MWANZA
MCHEZAJI MAARUFU MRISHO NGASSA PIA NI MKAZI WA JIJI LA MWANZA
FABIAN FRANK BALELE ,MWANDISHI WA BLOG HII PIA NI MKAZI WA JIJI LAMWANZA
KISIWA CHA SAA 8,NJE KIDOGO YA JIJI NDIMO KUNA VIVUTIO KAMA HIVI
SAINT AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA-MWANZA ,MOJA YA VYUO VIKUU JIJINI MWANZA
CATHOLIC UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE-BUGANDO-MWANZA TANZANIA
FLORIDA HOTEL JIJINI MWANZA
MALAIKA BEACH RESORT JIJINI MWANZA
CCM KIRUMBA UWANJA WA PILI KWA UKUBWA NA UZURI TANZANIA PIA UPO JIJINI MWANZA
TAI FIVE HOTEL MAENEO YA KITANGIRI JIJINI MWANZA ( UKIFIKA MWANZA UTALALA USINGIZI MZURI KABISA)





BAADHI YA MITAA YA JIJI
BAADHI YA SEHEMU YA JIJI KAMA INAVYOONEKANA KUTOKA JUU




 MTI HUU ULITUMIKA KAMA SEHEMU YA KUWANYONGEA WAHALIFU ENZI ZA MKOLONI MJERUMANI






                                                         KARIBUNI
                                  SANA,                                                                 KTK JIJI
                                    LA
                           MWANZA                                                      UJIVUNIE
                 UTANZANIA WAKO

No comments:

Post a Comment