Monday, November 26, 2012

R.I.P SHARO MILLIONAIRE

SHAROBARO KULIA AKIWA NA MZEE MAJUTO ENZI ZA UHAI WAKE KTK MOJA YA TUZO
Habari za kuaminika kutoka Muheza Mkoani Tanga zinasema kua yule Muigizaji na Mwanamuziki maarufu hapa nchini Hussein Ramadhan Mkieti a.k.a Sharo Millionaire amefariki Dunia jana usiku 26  Nov 2012 saa 2 usiku katika ajali ya gari KTK Kijiji cha LUSANGA Muheza Tanga alipokua akielekea nyumbani kwao Mkoani Tanga.Habari hizi zimethibitishwa na kamanda wa polisi mkoani Tanga,Constatine Masawe.
MWILI WA SHARO BAADA YA KUPATA AJALI
SHARO MILLIONAIRE ENZI ZA UHAI WAKE

No comments:

Post a Comment