Sunday, November 11, 2012

JK: MHASHAMU BALINA ALIKUA MDAU MKUBWA WA ELIMU;
 
 
Raisi kiwete akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya msiba ya aliyekua askofu wa jimbo kuu la Shinyanga Aloysius Balina aliyefariki tar 6/11 na kuzikwa jana tar 10/11/2012 katika kanisa la Mama wa Huruma Parokia ya Ngokolo MJINI Shinyanga.


Raisi Kikwete amesema kua Mhashamu Balina alikua mdau mkubwa wa elimu hapa nchini.
Raisi amesema hayo jana ktk mazishi ya aliyekua Askofu mkuu wa jimbo la Shinyanga Aloysius Balina mjini yaliyofanyika  katika kanisa la Mama wa Huruma Parokia ya Ngokolo Mjini Shinyanga,Aliyefariki tar 6 nov 2012.
Raisi Kikwete akiweka mchanga katika kaburi la Mhashamu Aloysius Balina.

Mbali ya Raisi Kikwete,Mama Maria Nyerere na Raisi wa awamu ya tatu ndg,Mkapa pia walihudhuria mazishi hayo ya Mhashamu Aloysius Balina

No comments:

Post a Comment