Sunday, December 8, 2013

HIVI NDIVYO ILIVYOKUA KUHUSU "FRESHERS' GET TOGETHER BAASH" NA BELLE 9 @ GRONENCY HOTEL.

SUASO Kupitia Wizara ya Michezo siku ya Leo 7/12/2013 imefanikiwa kuandaa Bonanza pamoja na Burudani ya Mziki iliyomshirikisha Mwanamziki wa Kizazi kipya Belle 9 katika Hotel Maarufu Mjini Morogoro(Gronency Hotel).

Burudani hiyo ilikusudia kuwakaribisha Wananchuo wote wa Mwaka wa Kwanza Chuo Kikuu Cha Sokoine(SUA) Morogoro.
Safari ya Kuelekea Gronency Hotel ilianza mida ya sa 3 Usiku kutoka Campus zote mbili.
Makamo Rais-(SUASO) Bwn Leonard Shoo alikua ni Mgeni Rasmi katika Tamasha Hilo.
MC Makini kabisa Mwanadada wa kipekee ndo ali Host Show Nzima Siku Hiyo.
Bwn Leonard Shoo,Makamo Rais(SUASO)Akitoa neno la Kuwakaribisha Freshers siku Hiyo.
Wadau mbalimbali kutoka SUA Wakifatilia Tamasha hilo.
Msanii wa Kizazi Kipya Belle 9 Alitumbuiza katika Tamasha Hilo.
Ukafika Mda wa Kuserebuka na Kuchezesha Nyonga, Daah,Ilikuwa Nouma sana.





No comments:

Post a Comment