Friday, March 29, 2013

TAMASHA KUBWA LA PASAKA MOROGORO,WAIMBAJI MAARUFU WA NYIMBO ZA INJILI KUWASHA MOTO.

Tamasha kubwa la injili linatarajiwa kufanyika siku ya J'PIL Siku Ya Pasaka, Jamhuri Stadium.
Waimbaji Wakubwa Wa Injili Wanatarajiwa kutumbuiza Siku Hiyo.
Miongoni Mwa Waimbaji hao ni:
      Masanja,Bahati Bukuku,
      Martha Mwaipaja
      Joseph Nyuki
      Stara Thomasi 
      Rafiki Gospel Singers Pia wanatarajiwa kutumbuiza siku hiyo.
Kwa Mujibu wa Qs Mhonda  J Entertainment Kiingilio kwa wakubwa inatarajiwa kuwa sh 5000/= Na Sh. 3000 Kwa Watoto.


No comments:

Post a Comment