Wednesday, March 27, 2013

WAFAHAMU WABUNGE VIJANA WALIOHITIMU JKT SIKU YA JANA.

Wabunge Vijana kadhaa siku ya jana tarehe 26 March 2013 wamehitimu mafunzo ya JKT.
Wabunge hao vijana wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania Waliungana na Baadhi ya Wanafunzi waliohitimu kidato cha sita mwaka 2013 ikiwa ni Programu maalumu kwa ajili ya kujenga uzalendo  kwa vijana katika taifa letu.


Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Kaskazini mbele kushoto na Idd Azan (KATIKATI)wakionyesha UKAKAMAVU katika mafunzo ya JKT kambi 835 KJ.




KULIA: Mh. Zitto kabwe akikabidhiwa cheti cha kuhitimu Mgambo JKT Na Mkuu wa Wilaya ya Handeni.









KUSHOTO:Mbunge wa Biharamulo Mh.Athanas Mbassa akila kiapo katika kambi ya Mgambo JKT Tanga.












KULIA: Mh. Abdalah Hjji Ally Mbunge wa Kiwani Pemba kambi ya Mgambo JKT TANGA










KUSHOTO:  Mh. Raya Ibrahimu Khamisi.(mbunge wa viti maalimu CHADEMA)












KULIA: Mh. Halima Mdee(wa kwanza kulia) na Waheshimiwa wenzake akila kiapo.





Amiri Jeshi Mkuu Na Raisi wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania Akimkabidhi Cheti cha Kuhitimu mafunzo ya Mgambo JKT Mh. Esther Bulaya kambi ya Ruvu JKT.











KULIA: Mh. Livingstone Lusinde Mb. wa Mtera.(watatu kutoka mbele mstari wa kwanza)







Picha kwa Msaada wa Mtandao na Jamii Forum.

No comments:

Post a Comment